Saturday, May 9, 2009

Barabara mpya kwenda wilaya ya Nanyumbu - Mtwara

Barabara yenye urefu wa kilomita 15 iliyojegwa kwa awamu ya kwanza ikiwa tayari, awamu ya pili ipo kazini ikichapa mzigo. Wilaya ya Nanyumbu toka wilaya ya Masasi mkoani Mtwara ina takribani wa umbali wa kilomita 55.
Ila ujenzi huu wa barabara unaweza kuingiwa dosari endapo ujenzi wa mifereji ukizidi kuchelewa kama uonavyo pichani. Mifereji inajengwa na serikali ya Tanzana, barabara serikali ya Japani.


Wadau na picha ya pamoja!

Baadaya Mchakamchaka wa field.