Friday, May 1, 2009

Ngoma ngoma...

Kadamnasi siku ya malaria duniani lilikuwa hivi!



Wakuu siku ya maadhimisho ya Malaria mkoani Mtwara!

Waziri wa afya na Ustawi wa jamii Mh. David Mwakyusa akitoa hutuba siku ya malaria iliyoadhimishwa tarehe 25 April 2009 Mkoani Mtwara.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda alikuwa mgeni rasmi nae alitoa hutuba yake siku hiyo ya maadhimisho ya malaria duniani.
(picha kutoka maktaba).

Vibweka siku ya Malaria Duniani 25 April 2009




Mwanakaka mmoja akilisakata sebeni juu ya paa la jukwaa kuu uwanja wa mashujaa Mtwara.

Mambo ya vijijini.

Bilcanas ya bush...

Unakumbuka enzi hizi?





Enzi za Mwalimu na Mh. Ally Hassan Mwinyi.

Vijijini!

Taswira!

Maisha hayafanani kwa kweli.
Ujumbe huo.

The ujumbezz

Soma pichani.

Vijimamboz mitaani!


Uwanja wa mpira ukiwa na nyavu (chandarua).

Bendera!

Moja ikiwa imebebwa...

Mei mosi @ Mtwara!





Maandamano yakiwa tayari tayari kuadhimisha sikukuu ya wafanyakazi Mtwara ambapo Kitaifa yanafanyiaka Mkoani Mara.