Thursday, March 26, 2009

Harakati za kupambana na Maleria pichani.

Watendaji kadhaa wa vijiji wakishiriki mafunzo.

Uji barabarani...

Umewahi kusikia/kuona uji nao ukitembezwa barabarani kama inavyouzwa kahawa?
Mimi niliifuma wilayani Masasi (Mtwara). Kibaya zaidi wanaouza wenyewe wanakuja mpaka bar, je bar utamuuzia nani na watu tayari wana-alcohol kadhaa kichwani???
Kweli wanasema tembea uone.

Wanapendeza na sare mpya!