Tuesday, March 17, 2009

Kuku mgeni...???

Msala kwenye kona!

Basi hili lipo kwenye kona kiasi kwamba kama hatua za tahadhari hazikuchukuliwa kunaweza kutokea maafa.

Aajali kwenye nguzo

Hapo ni kwamba gari liliivamia nguzo hiyo na bahati nzuri nguzo husika haikuwa na nyaya za umeme. Sijui hali ya gari ilikuwaje na driver. Picha kwa hisani ya Edga.