Saturday, February 21, 2009

Cheka kiafya!!




Majibu ya post hii ya 23/1/2009 ni haya hapo chini.

Nimebahatika kuona pindi niwapo katika mizunguko yango ya kila siku vijijini kwa gari na kushuhudia nyuma baada ya kupita kwa baadhi ya wanavijiji huchukua wanao wadogo na kwenda kuwakanyagisha zilipoacha/pita alama za matairi ya gari. Nimeshindwa kujua bado mpaka sasa ni nini maana yake!?Wewe una ufahamu wowote juu ya hili?
............................................
Jibu nililolipata ni kwamba,
Wanafanya hivyo kwa mtoto ambae hajaanza kutembea iwe kama kum-wish atembee haraka kwa siku za usoni.
Ndivyo nilivyoambiwa sasa kama ni kweli au la! Hayo ndio majibu

Utamaduni dance!

Hii ndio Africa.
Jivunie kuitwa Mwafrika.

Vijimamboz!

Nikuombe radhi kwa kidogo kutoiona vizuri picha (quality).

Kazi ipo!

Hapa ilikuwa si kazi nyepasi!

Ze taswira.


Siri na raha ya kijijini ni...

...unakuwa na nyumba na uwanja mkuubwa wa kuvinjari na maisha yako.
Hali kama hii huwezi linganisha na wenye nyumba mjini kwa baadhi ya maeneo ya hali ya juu.
Wanasema maisha popote bwana bora kuridhika na ulichonacho.

Tujifunze Kijapani!

Tamka taratibu kwanza usije ukateleza ulimi bure...

Kids from village life


Mikindani beach

Pembezoni kabisa mwa beach ya Mikindani bay (Mtwara)