Wednesday, February 18, 2009

Lazima niipulize isiniunguze.

Ile hadithi ya wewe ni mtutu mtukufuuuu,
Wazazi wako wanakusifuuuu...
Unaikumbuka?

Vekesheni inapokutana na madimbwi...!!?






Kitanda!

Binafsi huwa nikubahatika kufahamiana na fundi mchonga vitanda huwa namuambiaga ukweli kuwa, mafundi karibu woote staili zao za kuchonga na kudizaini zinafanana. Labda ndio maana kwa namna moja ama nyingine wateja huwa hawavutiwi na ile kukiona tu kwa mara ya kwanza.

Pita mfano kwenye internet uone jinsi watu wanavyotengeneza vitanda mi naviita "Unique" then utaniambia mawazo yako.


Kijani Kibichi kinavyopendeza.


Enzi zetu shule ya msingi.






Matenga ya nyanya tayari kwenda sokoni (mjini)



Biashara Matangazo...


Bucha ya mbuzi hiyo (mee)!



Kendwa Beach ndani ya Zanzibar

Mambo kujiachia tu ndani ya Zanzibar.

Hamna kubweteka hata kwa baadhi ya kina-dada kijijini


Babu bado anapiga dei waka kama kawa.




Zote hizi ni kwa 1,500Tsh tu.

Kijijini mambo haya.

Maujuzi ya kucheza na maji hayo...