Tuesday, February 10, 2009

Breaking news


Ndugu wadau wa www.patastories.blogspot.com ninapenda ku-share nanyi kuwa, kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu kamera ya patastories imekumbwa na matatizo ya kiufundi. Hivyo basi natoa masikitiko yangu kuwa speed ya ku-upload itakuwa ndogo kwa siku chache mpaka hapo mambo yatapokaa sawa siku si nyingi.
Niwaombe radhi wale wakiopita kuperuzi kila siku kuwa mambo yatakaa sawa karibuni.
Wenu mdau,
John Mnamba.