Saturday, January 31, 2009

Kwa wapenda Magari...

Link ifuatayo chini inaweza kukupa idea fulani kuhusu gari yako...

Fm Academia ndani ya Mtwara

Wazee wa Ngwasuma wakianza shughuli nzima.
Hizi zote ni mbwembwe kuwakonga wadau ukumbini.

Palikuwa hapatoshi.


Wadau na wapenzi wa Ngwasuma hawakuwa nyuma.

Ni full shangwe na Ngwasuma.





Teknolojia...

Teknolojia moja inapoipiku ingine huua kwa namna moja ama soko wa iliyopita, pichani ni kifaa chenye uwezo kama flash disk kenye uwezo wa kuhifadhi na kusikiliza mziki uwapo garini. Ni teknolojia nzuri sikata, hasa kwa barabara za vijijini ambapo CD kwenye kashkash za rafu road inakata kuimba. Wanasema Mchina huyo bwana.

Kijiweni...

Kwenye majengo wanapopangisha wanalipa kodi, je hapa napo vivyo hivyo? Swali.