Monday, January 26, 2009

Ukweli... Tathmini...


Kutoka maktaba

Picha hii niliipiga Zanzibar, sio mbaya tukijikumbusha mambo ya forodhani pembezoni kabisa mwa bahari ya hindi.

Kipimo...

Hata kama ungeambiwa tikiti moja lina sumu ungelitambua?

Speed Limit


Jiji la Mwanza pichani


Tangazo


Mkorosho!!

Moja ya mikorosho inayotarajiwa siku za usoni. Kwa kawaida unapokuwa unazaa majani majani yote chini hufyekwa kuepusha wadudu waharibifu. Zao maarufu mikoa ya Lindi na Mtwara kwa kusini.

Nakshi nzuri nyumbani

Mimi binafsi ni mpenzi sana wa sebule nzuri zenye kupendeza, rangi zisizopishana kupitiliza nk Mfano huo pichani ni dondoo tamu ukapata ka-kuiga kidogo na wewe.

Nani zaidi...


Biashara ya mbao mpakani!

Pichani ni mbao zinazovushwa toka Msumbiji kwa mitumbwi midogo tayari kwa biashara.

Njia panda...


Kwa wakazi wa maeneo ya Ndanda (mtwara) si pageni kwo, hapa ni njia panda kwenda chanzo cha maji almaarufu Ndanda Spring Water. Karibu siku moja utembelee.

Zain Mtwara

Nahapa ndio Zain Mtwara.

Ona Uchakavu huu

Aisee hili lori ni bado linadai barabarani kutafuta riziki. Kutu mtindo mmoja.

Huyu ni mnyama gani?


Hatari!!


Tatizo la wananchi mpaka mtu afe ndio hutatua tatizo kwa hali kama hiyo pichani, na hapa ni guest house moja wilayani masasi mkoani Mtwara.

Chips vumbi

Kiafya je unadhani chips kama hizi zinazosubiria wateje ni nzuri kiafya?

African Art


Jengo la posta na TTCL Mtwara